Search This Blog
Monday, June 1, 2020
Picha ya Tukio Inayozungumziwa Zaidi Mitandaoni...Mzungu Aliyekamatwa Kwa Kesi ya Mauaji Akihudumiwa Vizuri na Polisi wa Marekani..Tofauti na Mtu Mweusi Akikamatwa
Hili ni moja ya Matukio yanayozungumziwa zaidi Mitandaoni na kuchagiza hoja ya Ubaguzi wa rangi unaoendelea nchini Marekani kwasasa
Huyu ni Sebastian Arzadon , Aliyekamatwa juzi kwa kesi ya Mauaji ya watu wawili huko Lawrenceburg nchini Marekani. Licha ya kuwa ni muuaji , Sebastian alikamatwa vizuri na polisi ikiwemo kumpatia maji ya kunywa pamoja na kumsafisha majeraha yake kabla ya kumpeleka kituoni
Hali ni tofauti kwa Wamarekani weusi , ambao wengi wao huteswa na polisi ikiwemo kupigwa risasi , kwa makosa yasiyo na uzito , na polisi wanaofanya hivyo kutochukuliwa hatua yoyote
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment