Petit Man wakuache ambae ni Mzazi Mwenza Esma dada wa msanii Daimond Platinum ameweka Wazi Kuhusu Mahusiano Yake Na Mzazi Mwenza Wake Kwasasa Baada Ya Kuwepo Na Story Nyingi Juu Yao
Petit Man wakuache Alipokuwa Akifanyiwa Interview Na Kituo Cha Radio Cha TIMESfm Amesema
''Mimi Na Esma Platnumz Hatuko Pamoja Muda Mrefu Sana Sasa Yeye Ni Mzazi Mwenzangu Na Itabaki Kuwa hivyo Tu, Nipo Kwenye Mahusiano Kwa Muda Mrefu Tu, Nachoweza Kuwaambia Ma Ex Wangu Wote Ni Mungu Awabariki''
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment