Search This Blog
Tuesday, June 23, 2020
Novak Djokovic na mkewe wakutwa na Virusi vya Corona
Mcheza tenisi namba moja duniani, Novak Djokovic amekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona baada ya kufanyiwa vipimo.
Djokovic pamoja na wenzake wawili wamekutwa na virusi hivyo ambapo imeelezwa kuwa ni kutokana na kutotii agizo la kujitenga na kuendelea na mashindano ya Adria Tour
Nyota huyo ambaye alikuwa na ratiba ya kushuka uwanjani kucheza siku ya Jumapili amethibitisha Jumanne hii kuwa yeye na mke wake wameambukizwa Covid-19 wakati wakirudi nyumbani kwao Serbia, huku majibu yakionyesha watoto wao kutoambukizwa.
while his children’s results were negative.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment