Search This Blog

Friday, June 19, 2020

Mtangazaji wa Michezo Geoffrey Lea Aikimbia Clouds FM Atimkia Alipokimbilia B Dozen


Radio EFM Kupitia page yao wameandika haya hapa chini wakimaanisha wameshamchukua mtangazaji nguli wa michezo kutoka Clouds FM

#LeaYukoSawa : Bila shaka mko sawa kama Geoffrey Lea (@geoff_lea)
.
Lea yuko sawa sana kwa sababu ni kati ya Sports Personalities walioko vizuri kwenye kila mchezo. Anajua mpira wa miguu, wa kikapu, ngumi, tennis na mingine yote. Katika usawa huo, anastahili namba kwenye redio namba 1 kwenye michezo #Tanzania.
Mkuu wa Idara ya michezo hapa @efmtanzania na @tvetanzania, Kiungo mkongwe @maestro_ibrahim amemkabidhi jezi : #LeaYukoSawa #HuuMchezoHauhitajiHasira


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...