Search This Blog
Monday, June 29, 2020
Mke wa Babu Tale Kuzikwa leo Morogoro
Mwili wa marehemu mke wa Meneja wa WCB, Babu Tale, Shamsa Kombo 'Shammy' aliyefariki dunia asubuhi ya jana katika Hospitali ya Muhimbili unatarajiwa kwenda kuihifadhiwa mjini Morogoro.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na wanafamilia wa marehemu.
Marehemu enzi za uhai wake alifahamika zaidi kutokana na asasi yake aliyoimiliki ya "Nasimama Nao" iliyokuwa ikiwasaidia kina mama na mpaka mauti yalipomkuta ameacha watoto watatu, wawili wa kiume na mmoja wa kike.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment