Search This Blog

Friday, June 5, 2020

Mbunge wa Bukoba Mjini,Wilfred Lwakatare Awataka Viongozi wa CHADEMA Wajitafakari Wanaongozwa na Viongozi wa Aina Gani


Mbunge wa Bukoba Mjini,Wilfred Lwakatare amewataka wasomi wa CHADEMA kufanya tathmini kujua wanaongozwa na watu wa sampuli gani. Amewashangaa CHADEMA wanavyompinga Rais Magufuli kwa ujenzi wa miundombinu alioufanikisha wakati wao ukarabati wa jengo lao la Makao Makuu unawashinda

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...