Search This Blog

Monday, June 8, 2020

Mbowe Avamiwa, Ajeruhiwa Vibaya



Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB), Freeman Mbowe ameshambuliwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake Areaa D jijijini Dodoma.

Chadema imethibitisha na kusema amekimbizwa hospitali na anapatiwa matibabu.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...