Msanii mkongwe wa muziki wa BongoFleva, Matonya ametishia kuachana na muziki kutokana na mambo yanayoendelea kwenye muziki hatua ambao amedai inaweza pelekea wasaniwakauana. Muimbaji huyo ambaye amewahi kufanya vizuri na wimbo Siamini na nyingine nyingi, amedai imefikia hatua wasanii wanalogoana na kushushana kimuziki.
Search This Blog
Monday, June 8, 2020
Matonya atangaza kuachana na muziki “Wasanii tutauana pesa imekuwa shetani”
Msanii mkongwe wa muziki wa BongoFleva, Matonya ametishia kuachana na muziki kutokana na mambo yanayoendelea kwenye muziki hatua ambao amedai inaweza pelekea wasaniwakauana. Muimbaji huyo ambaye amewahi kufanya vizuri na wimbo Siamini na nyingine nyingi, amedai imefikia hatua wasanii wanalogoana na kushushana kimuziki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment