Search This Blog

Monday, June 8, 2020

Matonya atangaza kuachana na muziki “Wasanii tutauana pesa imekuwa shetani”


Msanii mkongwe wa muziki wa BongoFleva, Matonya ametishia kuachana na muziki kutokana na mambo yanayoendelea kwenye muziki hatua ambao amedai inaweza pelekea wasaniwakauana. Muimbaji huyo ambaye amewahi kufanya vizuri na wimbo Siamini na nyingine nyingi, amedai imefikia hatua wasanii wanalogoana na kushushana kimuziki.
 


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...