“Mimi nipo CCM tangu zamani, natangaza nia, uchaguzi wa mwaka huu, Chama kikinipa nafasi nitagombea Rombo, Kilimanjaro kule ndio kwetu, Mbunge wa sasa kule ni Mzee wetu Selasini, naenda Rombo ili kuwatumikia Wananchi” -Producer Master Jay
“Mimi nina miaka 50 kasoro miaka 3, nimefanya mengi, Kiwanda cha Muziki kimenipa mengi, Watoto wangu wanasoma chuo Nje ya nchi wa kwanza na wapili, hivyo mafanikio nimeshapata, ni muda sasa kwenda kuwatumikia Raia wa Rombo kwa kuwa Mbunge wao”-MASTER JAY
“Sijawahi kuisaidia jamii yangu ya Watu wa Rombo, Mungu amenijaalia uwezo kiasi hivyo nafahamu matatizo yanayoikumba Rombo na ningependa kuwasaidia, hivyo hilo ndio jambo linalonisukuma zaidi”- MASTER JAY
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment