Search This Blog
Saturday, June 13, 2020
Maombolezo ya Kitaifa ya siku 3 kufuatia kifo cha Nkurunziza kuanza leo Tanzania
Rais Magufuli ametangaza maombolezo ya Kitaifa ya siku 3 kuanzia leo June 13 kufuatia kifo cha Rais Nkurunziza kilichotokea June 09 Burundi,katika kipindi chote cha siku 3 za maombolezo ya Kitaifa kuanzia Jumamosi June 13 hadi Jumatatu June 15 bendera zote zitapepea nusu mlingoti.
“Burundi ni Mwanachama mwenzetu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Nkurunziza aliipenda Jumuiya hii, aliipenda pia Tanzania, nimeona Watanzania tuungane na Burundi katika kuomboleza na kumkumbuka Nkurunziza ambaye aliiona Tanzania kama nyumbani kwake”-JPM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment