Search This Blog

Sunday, June 21, 2020

Malaika: Sina Wivu na Zuchu



MWANA-MUZIKIkutoka Bongo Flevani aliyetamba na ngoma kama Zogo, Sare na nyingine, Diana Exavery ‘Malaika’ amesema hana wivu wala kinyongo kwa wanamuziki wenziye wa kike wanaotamba kwa sasa kama Zuchu.Amesema kila mtu ana kipaji chake na ni vizuri kukubali kitu anachofanya mwenzako.

Malaika pamoja na kwamba hajaachia ngoma mpya kwa muda mrefu, lakini siyo sababu ya yeye kutozikubali ngoma za wenzake.

“Sina wivu wala kinyongo kwa wanamuziki wenzangu wa kike kama Zuchu kwa sababu wamethubutu mno na kwa sasa wanafanya vizuri sana. Mimi ni shabiki wao namba moja kwa sababu kila jambo na wakati wake,” amesema Malaika

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...