Search This Blog
Sunday, June 21, 2020
Malaika: Sina Wivu na Zuchu
MWANA-MUZIKIkutoka Bongo Flevani aliyetamba na ngoma kama Zogo, Sare na nyingine, Diana Exavery ‘Malaika’ amesema hana wivu wala kinyongo kwa wanamuziki wenziye wa kike wanaotamba kwa sasa kama Zuchu.Amesema kila mtu ana kipaji chake na ni vizuri kukubali kitu anachofanya mwenzako.
Malaika pamoja na kwamba hajaachia ngoma mpya kwa muda mrefu, lakini siyo sababu ya yeye kutozikubali ngoma za wenzake.
“Sina wivu wala kinyongo kwa wanamuziki wenzangu wa kike kama Zuchu kwa sababu wamethubutu mno na kwa sasa wanafanya vizuri sana. Mimi ni shabiki wao namba moja kwa sababu kila jambo na wakati wake,” amesema Malaika
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment