Beki wa Klabu ya Yanga, Lamine Moro ameomba radhi kwa kitendo alichokifanya akiwa uwanjani kwenye Mchezo wa yanga dhidi ya JKT Tanzania na huku Mwalimu Luc Eymael nae akitanabahisha Umma kwa tukio hilo.
Hata hivyo uongozi wa Yanga ulitangaza kumkata mshahara wake wa kiasi cha shilingi milioni moja kutoka kwenye mshahara wake kwa kosa la kitenda kisicho cha kiungwana dhidi ya Mwinyi Kazimoto wa JKT Tanzania.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment