Search This Blog

Tuesday, June 9, 2020

Idadi ya watalii yavunja rekodi Pamukkale


Pamukkale, ambayo imeanza kuwakaribisha watalii tena mnamo 1 Juni baada ya kufungwa tangu Machi 19 kutokana mlipuko wa virusi vya corona imetembelewa na watu 2078 kwa siku 8..

Mji huo wa kitalii nchini Uturuki ulitembelewa na watalii zaidi yamilioni 2 mwaka jana.

Hata hivyo wageni wanalazimika kupimwa joto la mwili na kuvaa barakoa wakati wanapotembelea eneo hilo.

Turhan Veli Akyol, Naibu Mkurugenzi wa Tamaduni na Utalii wa Mkoa huo amesema kwamba katika kipindi cha siku 8, watu elfu 2 wameingai kutalii.

Akloy pia amewakaraibisha watalii kutoka mataifa mbalimbali baada ya kutangazwa kufunguliwa kwa ndege za kimataifa hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...