Search This Blog

Tuesday, June 2, 2020

Hizi hapa mechi 11 za yanga ndani ya ligi kuu

KLABU ya Yanga ina mechi 11 kibindoni ambazo imebakiza ili kuamliza mzunguko wa pili wa 2019/20.

Juni 13 ligi inarejea rasmi baada ya kusimamishwa na Serikali kutokana na kuibuka kwa janga la Virusi vya Corona.

Hivi hapa vigongo vyake:-

Juni 13, Mwadui v Yanga

Juni 17, JKT Tanzania v Yanga

Juni 21, Yanga v Azam FC

Juni 24, Yanga v Namungo

Julai 21, Yanga v Ndanda

Julai 5, Biashara United v Yanga

Julai 9, Kagera Sugar v Yanga

Julai 15, Yanga v Singida United

Julai 18, Yanga v Mwadui FC

Julai 22, Mtibwa Sugar v Yanga

Julai 26, Lipuli v Yanga

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...