KLABU ya Yanga ina mechi 11 kibindoni ambazo imebakiza ili kuamliza mzunguko wa pili wa 2019/20.
Juni 13 ligi inarejea rasmi baada ya kusimamishwa na Serikali kutokana na kuibuka kwa janga la Virusi vya Corona.
Hivi hapa vigongo vyake:-
Juni 13, Mwadui v Yanga
Juni 17, JKT Tanzania v Yanga
Juni 21, Yanga v Azam FC
Juni 24, Yanga v Namungo
Julai 21, Yanga v Ndanda
Julai 5, Biashara United v Yanga
Julai 9, Kagera Sugar v Yanga
Julai 15, Yanga v Singida United
Julai 18, Yanga v Mwadui FC
Julai 22, Mtibwa Sugar v Yanga
Julai 26, Lipuli v Yanga
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment