Search This Blog

Tuesday, June 9, 2020

Hii Hapa Picha ya Dereva Aliyezama na Lori MTO Wami na Kupoteza Maisha...


Hii ni picha ya Marehemu Frank, Dereva ambaye amefariki na mwili wake kuopolewa baada ya kukaa zaidi ya siku 3 ndani ya maji tangu Lori ambalo alikuwa akiendesha lilipozama Mto Wami Ijumaa June 05, pembeni ni picha ya hilo Lori alilozama nalo ambalo hadi sasa bado halijatolewa ndani ya maji.

Frank alikuwa akitokea DSM kuelekea Arusha na ameacha Mke Mjamzito..


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...