Search This Blog

Friday, June 5, 2020

Haji Manara Kuacha Kazi Simba SC "Nataka Changamoto Mp ya"



Haji Manara ni miongoni mwa maafisa habari wa vilabu vya soka vya Tanzania ambao wamedumu katika timu moja kwa muda mrefu, Manara hadi sasa amekaa Simba SC kama afisa habari kwa miaka mitano na miezi mitatu toka pale alipojiunga nayo 2015 mwezi March.

Manara akiongea katika insta Live na Sabrina Golden Hour ameeleza kuwa baada ya kudumu na club hiyo kwa miaka mitano anawaza kutafuta kazi mpya ya kufanya ili apate changamoto mpya.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...