Search This Blog
Saturday, June 13, 2020
Bendera yapepea nusu mringoti Kenya kuomboleza kifo cha Rais Nkurunzinza
Rais Uhuru Kenyatta ameagiza bendera ya Kenya na ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kupeperushwa nusu mlingoti kwa heshima ya Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza kuanzia kesho Juni 13 hadi siku ya mazishi
Rais Nkurunziza alifariki Juni 9 katika hospitali ya Karusi Fiftieth Anniversary baada ya kupatwa na mshtuko wa moyo Juni 8
Serikali ya #Burundi imetangaza maombolezo ya siku 7, na bendera yao itapepea nusu mlingoti kwa siku zote hizo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment