Search This Blog
Monday, June 22, 2020
BASATA yatoa Mwongozo kwa Wasanii Kuelekea June 29
Baraza la Sanaa Taifa BASATA limetoa mwongozo kwa wasanii, watayarishaji wa matamasha na wamiliki wa maeneo ya burudani kuhakikisha wanazingatia miongozo yote iliyotolewa na Wizara ya Afya kuelekea tarehe 29 Juni mwaka huu ambapo shughuli zote zilizokuwa zimesimama kufuatia janga la Corona zitakuwa zinarejea kama alivyoelekeza Rais Magufuli.
Itakumbukwa, Rais Magufuli alitoa tamko hilo Juni 16, wakati akihutubia bunge la 11 jijini Dodoma na kuruhusu shughuli zingine zote ziendelee nchini ikiwemo sherehe mbalimbali kama harusi na mikusanyiko mingine.
Aidha, katika mwongozo uliotolewa na #BASATA, limesisitiza suala la elimu kwa jamii wakati wote ambapo shughuli yoyote ya kiburudani itakua inaendelea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment