Mwimbaji wa Bongofleva Baba Levo ametangaza nia ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini iwapo Mbunge Zitto Kabwe hatojitokeza kugombea katika jimbo hilo.
Baba Levo amesema ana imani kuwa atashinda kutokana na maendeleo ambayo ameyafanya katika kata yake ya Mwanga Kaskazini ambako yeye ni Diwani.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment