Search This Blog

Saturday, June 6, 2020

Baba Levo Atangaza Nia ya Kugombea UBUNGE Kigoma Mjini.."Nitachukua Nafasi ya Zitto..Hawataki Mamluki"


Diwani wa kata ya Mwanga Kigoma mjini @officialbabalevo ametangaza nia ya kugombea Ubunge katika jimbo la Kigoma mjini.

@officialbabalevo ametangaza nia akisema kuwa ameona kama Mh. @zittokabwe anautaka Urais hivyo yeye ndiye akatayeridhi mikoba ya @zittokabwe KIGOMA MJINI maana hawataki mamluki.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...