Search This Blog

Sunday, June 21, 2020

Aliyekuwa Waziri wa Habari Rashid Ali Juma achukua fomu ya kugombea Urais Zanzibar


Aliekuwa Waziri wa Habari, Utalii na Utamaduni Zanzibar, Rashid Ali Juma amekuwa Mgombea wa 16 kujitokeza kuchukua Fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Zanzibar.

Rashid Ali Juma Pia  alikuwa Waziri wa Kilimo,Maliasili, Mifugo na Uvuvi Zanzibar na Mwakilishi wa Jimbo la Amani Unguja.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...