Search This Blog
Thursday, June 4, 2020
Aliemchumbia Wolper kafunguka kuvunjika kwa penzi lao ‘Hakuna Ndoa’
Mnamo Mei 30, 2020 Mwigizaji Wolper aliingia kwenye vichwa vya habari baada ya kuvishwa Pete na Mpenzi wake Chid Designer, sasa leo June 4, 2020 yameibuka mapya ambapo mbunifu huyo aliemchumbia Wolper amefunguka mbele ya waandishi wa habari kuhusu kuvunjika kwa Penzi lao.
Kwanza Wolper alikuwa ananijua, ni rafiki yangu kwahiyo naweza nikamvalisha Pete hata kama sio mpenzi wangu lakini pia naweza nikamzawadi Pete kama zawadi zingine, Wolper ni mwanamke ambae analitafuta Pesa kwa jacho lake mwenyewe, na taarifa za kuachana mimi na yeye ni kweli sio wapenzi na wala Ndoa hakuna- Chid Designer
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment