Search This Blog

Sunday, May 3, 2020

Young Killer Amemwandikia Wolper Dedication ?

 
Msanii wa HipHop Bongo Young Killer amesema muigizaji Jacqueline Wolper ni miongoni mwa watu waliompongeza kwa kazi yake mpya, A New Girlfriend Story.

Young Killer amekiri kuwa yeye na Wolper ni kweli walikuwa wapenzi na hawana tatizo hata kwasasa inapoonekana wameachana.

Hata hivyo Killer amesema kwasasa anajikita zaidi karibu na familia yake kwasababu ana mtoto hivyo anajikita zaidi kwenye malezi.

Jana ameachia ngoma mpya inayoitwa 'A New Girlfriend Story' ambayo imezua mijadala tofauti mitandao lakini yeye amefafanua.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...