Search This Blog
Sunday, May 3, 2020
Young Killer Amemwandikia Wolper Dedication ?
Msanii wa HipHop Bongo Young Killer amesema muigizaji Jacqueline Wolper ni miongoni mwa watu waliompongeza kwa kazi yake mpya, A New Girlfriend Story.
Young Killer amekiri kuwa yeye na Wolper ni kweli walikuwa wapenzi na hawana tatizo hata kwasasa inapoonekana wameachana.
Hata hivyo Killer amesema kwasasa anajikita zaidi karibu na familia yake kwasababu ana mtoto hivyo anajikita zaidi kwenye malezi.
Jana ameachia ngoma mpya inayoitwa 'A New Girlfriend Story' ambayo imezua mijadala tofauti mitandao lakini yeye amefafanua.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment