Najua kila mtu ana kigezo chake na uchaguzi wake pale anapompenda au kumtamani mtu yeyote ili kuwa naye kwenye mahusiano, mapenzi au kwenye ndoa kabisa.
Jacqueline Wolper, ambaye amesema hawezi kuwa na uhusiano na mwanaume mzuri au bishoo ila anapendelea watoto wa Kiswahili.
"Serious kabisa huwa sipendagi wanaume mabishoo, napenda wanaume ma-gangster au watoto wa kiswahili ndiyo mikato yangu, kwa sababu anajua nini maana ya maisha na sio bishoo kwenye kufanya chochote chenye kumuingizia riziki na hiyo ndiyo maana yangu, huwezi kunikuta nipo kwenye mahusiano na mtoto mzuri kwanza siwazimii naona wananipotezea muda" amesema Wolper.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment