Search This Blog

Monday, May 18, 2020

Waziri Kigwangalla Asema Wamiliki wa Hoteli Kutenga vyumba kwa Ajili ya Kupiga Nyungu


Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamis Kigwangalla, amesema wanawashawishi waendeshaji wa utalii na wamiliki wa hoteli kutenga vyumba  maalum kwa ajili ya kupiga nyungu .

“Wamiliki wa hoteli kutenga vyunba maalum kwenye Spa zao kwa ajili ya kupigia nyungu ya mitishamba, marashi na miti dawa yetu ya asili,” aliandika Kigwangalla katika ukurasa wake wa Twitter.

Kigwangalla amesema tiba asilia imesaidia sana kwenye ugonjwa wa Corona .

“Hatutaki kusema tu lakini kiukweli tiba asili imerusaidia sana kwenye Corona ! Tuiuze nje sasa


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...