Search This Blog
Monday, May 25, 2020
Watu 120 wamekamatwa katika maandamano Hong Kong
Watu 120 wameripotia kukamatwa Hong Kong katika maandamano ambayo yameanza upya baada ya kuonekana kuwa janga la virusi vya corona sio tena tishio katika jamii.
Waandamanajji wamemiminika mabarabarani kupinga mpango wa sheria mpya kutoka China ambayo inadiwa kuingilia masuala ya ndani ya Hong Kong.
Katika maandamano hayo, waandamanaji zaidi ya 120 wameripotiwa kukamatwa.
Mamia ya waandamanaji wamekusanyika mjini kati Causeway Bay wakiwa wamevalia mavasi meusi kama ishara ya kupinga msuada huo wa sheria.
Waandamanaji wamesikika wakitoa matamshi dhidi ya serikali.
Jeshi la kutuliza ghasia lmetumia mabomu ya kusababisha kutokwa na machozi kuwatawanya waandamanaji hao.
Miongoni mwa watu waliokamatwa, amekamatwa piia mwanaharakati maarufu anaefahamika kwa jina la Tam Kakchi.
Askari polisi wanne pia wameripotiwa kujeruhiwa katika maandamano hayo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment