Search This Blog

Tuesday, May 19, 2020

Wakulima wa pamba Maswa warejeshewa fedha walizoibiwa


Shilingi Milioni 232 fedha za Wakulima wa Pamba Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ambazo zilitafunwa na Viongozi wa Vyama Vya Msingi Vya Ushirika (AMCOS) Wilayani humo katika msimu wa mwaka 2019-2020, kutokana na kuzitumia kwa kuchezea mchezo wa upatu na kukopeshana zimeendelea kurudishwa kwa Wakulima baada ya Viongozi waliyokamatwa na Jeshi la Polisi kufikishwa katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), katika Wlaya hiyo.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...