Shilingi Milioni 232 fedha za Wakulima wa Pamba Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ambazo zilitafunwa na Viongozi wa Vyama Vya Msingi Vya Ushirika (AMCOS) Wilayani humo katika msimu wa mwaka 2019-2020, kutokana na kuzitumia kwa kuchezea mchezo wa upatu na kukopeshana zimeendelea kurudishwa kwa Wakulima baada ya Viongozi waliyokamatwa na Jeshi la Polisi kufikishwa katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), katika Wlaya hiyo.
Search This Blog
Tuesday, May 19, 2020
Wakulima wa pamba Maswa warejeshewa fedha walizoibiwa
Shilingi Milioni 232 fedha za Wakulima wa Pamba Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ambazo zilitafunwa na Viongozi wa Vyama Vya Msingi Vya Ushirika (AMCOS) Wilayani humo katika msimu wa mwaka 2019-2020, kutokana na kuzitumia kwa kuchezea mchezo wa upatu na kukopeshana zimeendelea kurudishwa kwa Wakulima baada ya Viongozi waliyokamatwa na Jeshi la Polisi kufikishwa katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), katika Wlaya hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment