Search This Blog

Thursday, May 14, 2020

Wagonjwa Wa Corona Uganda Wafika 160...Ni Baada Ya Wengine 21 Kuongezeka

Uganda imethibitisha wagonjwa wapya 21 wa homa ya COVID19 na kufanya idadi ya maambukizi kuwa 160.

21 hao wamebainika baada ya kufanyika vipimo kwa sampuli 1593 za madereva katika mipaka ya Mtukula ,Busia ,Malaba na Elegu.

Wizara ya Afya nchini humo imesema, kati ya hao Wakenya ni 08, Waganda ni 05, Watanzania ni 07 na Mmoja ni Raia wa Sudani



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...