Search This Blog
Wednesday, May 20, 2020
Uturuki yakemea vikali kuchomwa moto kwa bendera yake nchini Ugiriki
Uturuki kupitia msemaji wa wizara yake ya mambo ya nje imekemea vikali kitendo cha kuchomwa moto bendera yake nchini Ugiriki.
Uturuki ikitaja kitendo hicho kuwa kitendo cha kibaguzi dhidi ya Uturuki kilichofanywa na Ugiriki.
Hami Aksoy, msemaji wa zizara ya mambo ya nje ya Uturuki ameandika katika ukurasa wake wa Twitter akiwazindua wote wale ambao hawajataba funzo la athari za ubaguzi na kukemea kitendo hicho cha kuchomamoto bendera ya Uturuki.
Hami Akasoy amekumbusha kuwa Baba wa Taifa la Uturuki Mustafa Kemal Atatürk hakuruhusu kukanyagwa kwa bendera ya Ugiriki iliokuwa chini ya miguu yake baada ya kuukomboa mjini Izmir mwaka 1923 , mji ambao ulikuwa umekaliwa kimabavu na wagiriki.
Katika ujumbe wake , Hami Aksoy amesema kwa Uturuki haitokubali bendera yake kudhalilishwa kama alivyofundisha Baba wa Taifa kwa kusemabendera ndio heshima ya taifa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment