Search This Blog
Thursday, May 14, 2020
UGANDA: Ongezeko la wagonjwa wapya 21 wa corona
Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa wapya 21 wa corona na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 160 nchini humo kutoka 139. “wagonjwa wapya wote ni Madereva wa Malori, kati ya hawa 21, kuna Wakenya 8, Watanzania 7, Waganda 5 na Raia mmoja wa Sudan Kusini”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment