Search This Blog

Thursday, May 14, 2020

UGANDA: Ongezeko la wagonjwa wapya 21 wa corona



Wizara ya Afya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa wapya 21 wa corona na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 160 nchini humo kutoka 139. “wagonjwa wapya wote ni Madereva wa Malori, kati ya hawa 21, kuna Wakenya 8, Watanzania 7, Waganda 5 na Raia mmoja wa Sudan Kusini”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...