Search This Blog

Sunday, May 10, 2020

UGANDA: Maambikizi ya jumla ya corona 116



Wizara ya Afya Uganda imesema maambukizi ya jumla ya corona yameongezeka na kufikia 116 nchini humo, waliopona bado ni 55 na hakuna kifo. “May 09,2020 waliongezeka wagonjwa wapya wawili ila May 08,2020 waliongezeka wagonjwa 13 wakiwemo Wakenya 7, Waganda 4 na Watanzania wawili”

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...