Search This Blog
Sunday, May 10, 2020
UGANDA: Maambikizi ya jumla ya corona 116
Wizara ya Afya Uganda imesema maambukizi ya jumla ya corona yameongezeka na kufikia 116 nchini humo, waliopona bado ni 55 na hakuna kifo. “May 09,2020 waliongezeka wagonjwa wapya wawili ila May 08,2020 waliongezeka wagonjwa 13 wakiwemo Wakenya 7, Waganda 4 na Watanzania wawili”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment