Familia ya Elianshisauo Shoo inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa, Bi. Shaweraisaria Shoo kilichotokea tarehe 14.05.2020 Arusha. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa Familia, mazishi yatafanyika tarehe 19.05.2020 (jumanne) Machame Lyamungo Kati .
Search This Blog
Sunday, May 17, 2020
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment