Search This Blog

Sunday, May 17, 2020

TAARIFA YA MSIBA

Familia ya Elianshisauo Shoo inasikitika kutangaza kifo cha mama yao mpendwa, Bi. Shaweraisaria Shoo  kilichotokea tarehe 14.05.2020  Arusha. Habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa Familia, mazishi yatafanyika tarehe 19.05.2020 (jumanne) Machame Lyamungo Kati .


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...