Serikali ya Ireland imeahidi kutoa fedha kiasi cha Uero milioni 5.5 ambazo zitatumika katika shughuli mbalimbali ikiwemo Taasisi ya Benjamin Mkapa ambazo zitakwenda kulipa mishahara ya watumishi na kuajiri wafanyakazi wapya 169 kabla ya mwezi Desemba 31 ambao watatumika kuwafuatilia watu mbalimbali ambao wamekutwa na virusi vya corona.
Search This Blog
Tuesday, May 26, 2020
Serikali ya Ireland yaahidi kutoa euro milioni 5.5 Tanzania
Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba Kabudi amefanya mazungumzo kwa njia ya mtandao na Waziri wa maendeleo ya kimataifa na Diaspora wa Jamhuri ya Ireland Ciaran Cannon yaliyolenga kuangalia hatua ambazo nchi hizo zimechukua kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.
Serikali ya Ireland imeahidi kutoa fedha kiasi cha Uero milioni 5.5 ambazo zitatumika katika shughuli mbalimbali ikiwemo Taasisi ya Benjamin Mkapa ambazo zitakwenda kulipa mishahara ya watumishi na kuajiri wafanyakazi wapya 169 kabla ya mwezi Desemba 31 ambao watatumika kuwafuatilia watu mbalimbali ambao wamekutwa na virusi vya corona.
Serikali ya Ireland imeahidi kutoa fedha kiasi cha Uero milioni 5.5 ambazo zitatumika katika shughuli mbalimbali ikiwemo Taasisi ya Benjamin Mkapa ambazo zitakwenda kulipa mishahara ya watumishi na kuajiri wafanyakazi wapya 169 kabla ya mwezi Desemba 31 ambao watatumika kuwafuatilia watu mbalimbali ambao wamekutwa na virusi vya corona.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment