Search This Blog

Friday, May 8, 2020

RC MTWARA AMUAPISHA DC MPYA DUNSTAN KYOBYA



……………………………………………………………..
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa amemuapisha mkuu mpya wa wilaya ya Mtwara Dunstan Kyobya, ambae uteuzi wake umefanywa Mei 6 mwaka huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli.

Moja ya maelekezo ya mkuu wa mkoa Byakanwa kwa mkuu mpya wa wilaya ya Mtwara ni Pamoja na kuendeleza mapambano dhidi ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Corona Covid 19.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...