Search This Blog
Saturday, May 2, 2020
Rais wa Uturuki azungumza na wagonjwa wa virusi vya corona kwa njia ya video
Rais Recep Tayyıp Erdoğan azungumza kwa njia ya video na wagonjwa wa virusi vya corona wanaopatiwa matibabu katika hospitali Cerrahpaşa.
Taarifa iliztolewa katika ukurasa wake wa Twitter zimefahamisha kuwa rais Erdoğan amezungumza na wagonjwa hao baada ya kuongonishwa kwa njia ya video na hospitali hiyo .
Waziri wa habari wa Uturuki Fahrettin Altun na msemaji wa ikulu Ibrahim Kalın wameonekana katika picha iliorushwa ambapo rais Erdoğan alipokuwa akizungumza na wagonjwa hao.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment