Search This Blog
Sunday, May 3, 2020
Rais Magufuli leo tarehe 3,2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Nchemba
Rais wa Tanzania , Dkt. Magufuli leo tarehe 3 Mei, 2020 atamuapisha Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa katiba na sheria, Wilayani Chato ,Mkoa wa Geita. Mwigulu aliteuliwa jana kushika wadhifa huo akichukuwa nafasi ya Balozi Agustine Mahiga ambaye amefariki dunia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment