Nimeshtushwa na kupata majonzi makubwa baada ya kupata taarifa za Ndege kuanguka Karachi (Pakistan), Dua zangu ziende kwa waliofikwa na umauti, majeruhi pamoja na Familia zao, Marekani inasimama na Pakistan katika kipindiki hiki kigumu”-Waziri wa Mambo ya Kigeni Marekani, Mike Pompeo baada ya ajali ya Ndege inayohofiwa kuua zaidi ya Watu 80 Pakistan
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment