Search This Blog

Saturday, May 23, 2020

Pompeo aguswa na vifo vya watu ajali ya pakistan

Nimeshtushwa na kupata majonzi makubwa baada ya kupata taarifa za Ndege kuanguka Karachi (Pakistan), Dua zangu ziende kwa waliofikwa na umauti, majeruhi pamoja na Familia zao, Marekani inasimama na Pakistan katika kipindiki hiki kigumu”-Waziri wa Mambo ya Kigeni Marekani, Mike Pompeo baada ya ajali ya Ndege inayohofiwa kuua zaidi ya Watu 80 Pakistan

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...