Msanii kutoka nchini Nigeria Yemi Alade ndiye msanii wa kike wa kwanza Afrika kufikisha video yenye watazamaji Milioni 100 kwenye Mtandao wa YouTube
Yemi Alade ameiandika rekodi hiyo kupitia video ya wimbo wake wa #Johnny aliouachia mwaka 2014 ambao mpaka sasa una jumla ya watazamaji zaidi ya Milioni 117 kwenye Mtandao wa YouTube
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment