Search This Blog

Saturday, May 30, 2020

Mke wa Polisi Aliyeua Mtu Kwa Kumkanyaga na GOTI Afunguka...Mume Wangu Kafanya Ukatili Mkubwa..Nataka Talaka


Mke wa Polisi Aliyeua Mtu Kwa Kumkanyaga na GOTI Afunguka...Mume Wangu Kafanya Ukatili Mkubwa..Nataka Talaka

Kellie Chauvin, Mke wa Derek Chauvin Polisi ambaye anatuhumiwa kwa kumkanyaga shingoni George Floyd hadi kupelekea kifo chake, amedai talaka kwa Mumewe, kupitia kwa Wakili wake Kellie amewapa pole Ndugu wa Marehemu Floyd na kusema Mumewe amefanya ukatili

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...