Search This Blog

Friday, May 15, 2020

Meshak wa BSS Alivyomalizana na Madam Rita Kuhusu zawadi “Natamani Nirudie Tena BSS” (Video)


Muandaaji wa Mashindano ya BSS, Madam Rita Ijumaa hii alitua Baraza la Sanaa Tanzania BASATA kwaajili ya kumalizana na Mshindi wa BSS mwaka 2019, Meshaki ambaye alidai kudhulumiwa pesa zake ambazo aliahidiwa kama mshindi. Naye Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Godfrey Mngereza amedai Meshak siye aliyeandika barua ya kulalamika kutolipwa kwa pesa zake:


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...