Muandaaji wa Mashindano ya BSS, Madam Rita Ijumaa hii alitua Baraza la Sanaa Tanzania BASATA kwaajili ya kumalizana na Mshindi wa BSS mwaka 2019, Meshaki ambaye alidai kudhulumiwa pesa zake ambazo aliahidiwa kama mshindi. Naye Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Godfrey Mngereza amedai Meshak siye aliyeandika barua ya kulalamika kutolipwa kwa pesa zake:
Search This Blog
Friday, May 15, 2020
Meshak wa BSS Alivyomalizana na Madam Rita Kuhusu zawadi “Natamani Nirudie Tena BSS” (Video)
Muandaaji wa Mashindano ya BSS, Madam Rita Ijumaa hii alitua Baraza la Sanaa Tanzania BASATA kwaajili ya kumalizana na Mshindi wa BSS mwaka 2019, Meshaki ambaye alidai kudhulumiwa pesa zake ambazo aliahidiwa kama mshindi. Naye Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Godfrey Mngereza amedai Meshak siye aliyeandika barua ya kulalamika kutolipwa kwa pesa zake:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment