Search This Blog

Wednesday, May 20, 2020

Mama Mghwira Aeleza Jinsi Jani la "IYOMBO" Lilivyomponya Corona


Corona
Tiba asili zinaendelea kuaminika na baadhi ya watu nchini katika mapambano ya #COVID19, na miongoni mwa wanaoamini tiba hizo ni Mkuu wa mkoa wa #Kilimanjaro Anna Mghwira ambaye alitangaza hivi karibuni kuambukizwa virusi vya corona lakini anasema ametumia Tiba asili ya Jani la Iyombo na sasa anaendelea vizuri kabisa ikiwa imepita wiki mbili tangu aripoti kupata maambukizi ya virusi vya #corona.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...