Search This Blog
Wednesday, May 20, 2020
Mama Mghwira Aeleza Jinsi Jani la "IYOMBO" Lilivyomponya Corona
Tiba asili zinaendelea kuaminika na baadhi ya watu nchini katika mapambano ya #COVID19, na miongoni mwa wanaoamini tiba hizo ni Mkuu wa mkoa wa #Kilimanjaro Anna Mghwira ambaye alitangaza hivi karibuni kuambukizwa virusi vya corona lakini anasema ametumia Tiba asili ya Jani la Iyombo na sasa anaendelea vizuri kabisa ikiwa imepita wiki mbili tangu aripoti kupata maambukizi ya virusi vya #corona.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment