Search This Blog
Friday, May 1, 2020
Kim Jong-un Aonekana Hadharani, Afanya Hili Kukiwa na Tetesi Kuwa Amefariki
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Habari la nchi hiyo ‘KCNA’ leo, Mei 2, 2020, wakati ambapo kuna uvumi kuwa huenda alikuwa mahututi au amefariki dunia.
Taarifa hiyo imeeleza kuwa Kim amekata utepe na kufungua kiwanda kikubwa cha mbolea katika mji mkuu wa chi hiyo, Pyongyang, tukio lililofanyika Ijumaa, Mei Mosi, 2020.
KCNA imeripoti kuwa tukio hilo lilihudhuriwa na watu wengi ambao waliitikia kwa shangwe kuu baada ya kiongozi huyo kukata utepe kuashiria kufunguliwa kwa kiwanda hicho.
Imeelezwa kuwa aliongozana na maafisa waandamizi wa serikali akiwemo mdogo wake, Kim Yo Jong.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment