Search This Blog
Thursday, May 7, 2020
Kijana Atumia Hela ya Kodi Kuchora Tatoo ya Wema. Sasa Hivi Familia yake inalala nje
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Papamafido ametumia kodi ya nyumba na kulazimika kulala nje baada ya pesa hiyo kwenda kuchorea ‘TATTOO’ ya Wema Sepetu.
Akizungumza na Bongo5, Papamafido amesema kuwa amelazimika kulala nje Miezi baada ya pesa za kodi kwenda kuchora ‘Tattoo’ ya Msanii wa filamu na Miss Tanzania mwaka 2006, Wema Sepetu huku kijana huyo akionyesha mapenzi yake kwa mwanadada huyo.
Papamafido ambaye hapo jana alibahatika kuonana uso kwa uso na Wema, alishindwa kuzuia hisia zake na kuvua shati lake alilovaa kisha kumuonyesha Wema Sepetu ‘Tattoo’ kubwa yenye sura yake aliyoichora nyuma ya mgongo na kumuacha Msanii huyo akishika mdomo pasipo kuamini mapenzi makubwa aliyoonyesha kijana huyo.
Mbali na kujichora huko ‘Tattoo’ iliyopelekea hadi baadhi ya ndugu zake kumtenga huku marafiki zake wa karibu kumcheka, lakini pia alikuwa na michoro mingine ambayo amemchora Wema Sepetu katika vibao na kumkabidhi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment