Search This Blog
Sunday, May 3, 2020
Jux Ashikwa na Kigugumizi Penzi la Huddah Monroe
Mwimbaji Jux amesema huwa ni mgumu sana wa kuchagua mwanamke wa kuwa naye kwenye mahusiano na mara nyingi huwa anakuwa na vigezo vingi sana.
Akiongea kwenye Friday Night Live, Jux ameweka wazi kuwa yupo karibu na Huddah kwasababu wameshafanya kazi na wanawasiliana lakini kikazi zaidi.
''Huddah ana mahusiano yake japo mimi kwasasa sipo kwenye mahusiano lakini namheshimu Huddah na hatuna ukaribu huo ila huwa ananipa mawazo ya kazi'' - Jux
Kuhusu kusumbuliwa na wasichana kwenye mitandao ya jamii, Jux amesema inatokea ila sio sana.
Kwa upande mwingine amesema mpenzi wake wa zamani Jackie Cliff, hajawasiliana naye muda mrefu ila anaweza kuwa anakaribia kutoka na kama atatoka wanaweza kuwa kwenye mahusiano ila itategemea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment