Search This Blog

Friday, May 1, 2020

Idadi ya maambukizi ya corona Uganda yaongezeka




Wizara ya afya ya Uganda imesema kuna ongezeko la wagonjwa wengine wawili wa corona na kufanya idadi ya visa vya corona Uganda kufikia 83, wagonjwa wapya wote ni madereva wa malori kutoka Kenya, waliopona corona Uganda hadi sasa ni watu 52 na hakuna kifo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...