Search This Blog

Saturday, May 16, 2020

Hali ilivyo Mpakani Mwa Tanzania na KENYA....Madereva Wajipikia Futari Kando ya Magari yao

Dereva wa lori akiandaa futari kando ya lori lake wakati anasubiri kupimwa COVID-19 kabla ya kuingia nchini Kenya ikiwa ni utaratibu wa lazima uliowekwa kwa madereva wote kuhakikisha wanapimwa katika eneo hilo la Namanga, kaskazini mwa Tanzania

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...