Search This Blog
Friday, May 22, 2020
Fahyma Atajwa Kuumbuka Mchana Kweupe..Jumba Alilosema Wamenunua Layeyuka
Miezi kadhaa iliyopita Fahyma akihojiwa na Ijumaa amesema mjengo aliokuwa akiishi na Rayvanny huko Salasala, Dar ni wao wameujenga kwa kudunduliza -
Lakini kuumbuka kwa Fahyma kumetajwa kufuatia mjengo huo kuingizwa sokoni na dalali ili kupangishwa. Dalali huyo alipoulizwa na Risasi inakuwaje Wakati mjengo huo Fahyma alisema yeye na Rayvanny wameujenga? Dalali amesema sio kweli Rayvanny alikuwa ameukodi tu kwa mwezi gharama ikiwa milioni 1.8 za za Kibongo
Dalali alipoulizwa kama Rayvanny amefukuzwa na mwenye nyumba ? Amesema sio kweli bali Rayvanny ameondoka mwenyewe baada ya kodi yake kuisha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment