Search This Blog
Saturday, May 16, 2020
Diamond Avaa Saa ya Zaidi ya Shiling Milion 320 iliyomuumbua IDRIS Sultan Mwaka 2116
Pesa haijifichi. Rais wa lebo ya muziki ya #WCB @diamondplatnumz anazidi kudhihirisha utajiri wake hii ni baada ya kupost picha ikimuonesha akiwa amevaa saa yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 320 za Kitanzania
Saa hiyo inafahamika kwa jina la #RichardMille na inauzwa Dola za Kimarekani 141,762 ambayo kwa Tanzania ni zaidi ya Milioni 320
Saa hii ilishawahi kumtoa nishai Mchekeshaji na mshindi wa Big Brother Afrika @idrissultan baada ya wajuzi wa mambo kumshtukia baada ya kuvaa Feki ya saa hii. Kurasa moja mtandaoni maarufu kama #FakeWatchBusta ilichapisha taarifa mnamo mwaka 2016 kuwa Mchekeshaji huyo alikuwa amevaa saa feki na kujianika nayo mtandaoni. Hii ni baada ya saa ya @idrissultan kukosa baadhi ya nakshi zinazopatikana kwenye saa hiyo ikiwa Original
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment