Search This Blog

Monday, May 25, 2020

Bata la Dar si la kusimulia, bar zafunguliwa

Ripoti kutoka kwenye mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam usiku huu ni kwamba Baa mbalimbali zimefunguliwa ikiwemo ya Liquid Kurasini.

Hii ni baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar ea salaam Paul Makonda @baba_keagan kutangaza waliokimbia corona warudi Dar kuendelea na shughuli za uchumi huku akiitaja Jumapili ya leo kuwa ndio siku rasmi ya kurudi kwenye viota vilivyokua vimefungwa, siku ya kuliamsha tena japo kwa tahadhari

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...