Search This Blog
Sunday, April 12, 2020
Watu 91 Waliopona Corona Korea Kusini Wamepata Tena
Serikali ya Korea Kusini imeripoti kuwa takriban watu 91 waliopona virusi vya Corona wamepata tena maambukizi kwa mara ya pili.
Mkurugenzi wa Kituo cha Kuzuia na Kudhibiti Magonjwa nchini humo, Jeong Eun-kyeong amesema kuna uwezekano mkubwa virusi hivyo vilikuwa vimelala (dormant) na sio kwamba watu hao wameambukizwa upya.
Wataalamu wanasema huenda vipimo walivyofanyiwa watu hao vilionesha majibu ya uongo au baadhi ya virusi vilibaki mwilini ila havikuwa na madhara.
undani wa jambo hilo unaendelea kuchunguzwa kwani wataalamu wa afya wa Korea Kusini bado hawajafahamu kinachosababisha hali hiyo iliyozua taharuki.
Tanzia: Wafanyakazi wawili TBC wafariki dunia
Imelezwa kuwa hali ya wagonjwa wa covid 19kupata maambukizi baada ya kupona ni suala ambalo linahofiwa kimataifa kwakuwa nchi nyingi zinatamani walioathirika watakuwa na kinga ya mwili ya kutosha itakayowazuia kuambukizwa tena.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment